Waziri wa Nishati, Mhe. Medard Kalemani akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati ambapo Wizara yake iliwasilisha Taarifa ya Maendeleo na Utekelezaji wa Miradi ya REA, kikao hicho kilifanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, pembeni yake ni Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Subira Mgalu.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo ambapo walipokea Taarifa ya Maendeleo na Utekelezaji wa Miradi ya REA kutoka Wizara ya Nishati, kikao hicho kilifanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati, Mhe. Dunstun Kitandula akifuatilia jambo katika kikao cha Kamati hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma, pembeni yake ni Katibu wa Kamati hiyo, Felister Mgonja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...