Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro akisalimiana na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Liberatus Sabas pamoja na Maafisa wengine wa Jeshi la Polisi baada ya kuwasili katika Shule ya Polisi Moshi katika hafla ya kupokea Uwanja wa Mafunzo ya Askari uliojengwa na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali, Jacob Kingu akipokelewa na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro baada ya kuwasili katika Shule ya Polisi Moshi alipoudhulia hafla ya kupokea Uwanja wa Mafunzo ya Askari uliojengwa na Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano.
Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye ambaye ni mgeni rasmi akiwasili katika ufunfuzi wa Uwanja wa Mafunzo ya Askari katika Shule ya Polisi Moshi na kulia kwake ni Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Meja Jenerali, Jacob Kingu na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro alie mkoni wa kushoto wa mgeni rasim (Picha na Jeshi la Polisi).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...