Naibu Spika Mhe. Dkt Tulia Ackson akifurahia jambo na Mabondia na Viongozi wa Ngumi walipotembelea Bunge Jijini Dodoma leo. Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe.

Naibu Spika Mhe. Dkt Tulia Ackson (wa pili kulia) katika picha ya pamoja na Bigwa wa Dunia wa WBO Asian Pacificc (wa tatu kulia) alipotembelea Bunge Jijini Dodoma leo. Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe na Kushoto ni Rais wa Kamisheni ya Ngumi Bw. Joe Anea.
Naibu Spika Mhe. Dkt Tulia Ackson (wa tano kulia) katika picha ya pamoja na Mabondia na Viongozi wa Ngumi walipotembelea Bunge Jijini Dodoma leo. Watatu Kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe.
Naibu Spika Mhe. Dkt Tulia Ackson (katikati) akizungumza na Mabondia na Viongozi wa Ngumi walipotembelea Bunge Jijini Dodoma leo. Wakwanza kulia ni Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe.

PICHA NA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...