Mwenyekiti wa Kamati ya maandlizi ya Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST), Joyce Fisoo akifafanua jambo kwa wajumbe wa kikao cha Makatibu Wakuu cha kupitia taarifa ya maandalizi ya tamasha hilo mapema hii leo Septemba, 13 jijini Dar es Salaam, tamasha hilo linatarajia kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.
Makatibu Wakuu na wajumbe wakiendelea na kikao cha kupitia taarifa ya maandalizi ya Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.





Katibu Mkuu wa Wizara Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Susan Mlawi akifafanua jambo kwa wajumbe wa kikao cha Makatibu Wakuu cha kupitia taarifa ya maandalizi ya Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.
Katibu Mtendaji Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza (katikati) akifafanua jambo kwa wajumbe wa kikao cha Makatibu Wakuu cha kupitia taarifa ya maandalizi ya Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) mapema hii leo Septemba, 13 jijini Dar es Salaam, tamasha hilo linatarajia kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.
Katibu Mkuu wa Wizara Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Susan Mlawi akiwaongoza Makatibu Wakuu na baadhi ya viongozi kutembelea baadhi ya miundombinu itakayotumika katika Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.
Katibu Mkuu wa Wizara Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Susan Mlawi akiwaelekeza Makatibu Wakuu na baadhi ya viongozi baadhi ya miundombinu itakayotumika katika Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.

Katibu Mkuu wa Wizara Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Susan Mlawi (katikati) akiwaongoza Makatibu Wakuu na baadhi ya viongozi kutembelea baadhi ya miundombinu itakayotumika katika Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.
Meneia wa Uwanja wa Taifa, Nsajigwa Gordon akitoa maelekezo kwa Makatibu Wakuu na baadhi ya viongozi juu ya nyasi bandia katika uwanja wa Uhuru wakati Makatibu Wakuu hao walipokwenda kutembelea baadhi ya miundombinu itakayotumika katika Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST) linalotarajia kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.
Moja ya eneo litakalotumika katika Tamasha la nne la Utamaduni wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (JAMAFEST), linalotarajia kufanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 21 hadi 28, Septemba 2019.Picha na WHUSM – Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...