Afisa Uhusiano ZRB Makame Khamis Mohamed akizungumza machache katika Mdahalo kuhusu Kodi kwa Skuli za Sekondary Kanda ya Unguja uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA Kampasi ya Vuga Zanzibar.Ikiwa ni Shamra shamra za kutimia miaka 20 ya Bodi ya Mapato Zanzibar.
 Afisa Elimu ZRB Raya Suleiman Abdalla akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Mdahalo kuhusu Kodi kwa Skuli za Sekondary Kanda ya Unguja uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA Kampasi ya Vuga Zanzibar. Ikiwa ni Shamra shamra za kutimia miaka 20 ya Bodi ya Mapato Zanzibar.
 Kiongozi wa Majaji Mussa Said Salum akizungumza machache katika Mdahalo kuhusu Kodi kwa Skuli za Sekondary Kanda ya Unguja uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA Kampasi ya Vuga Zanzibar.Ikiwa ni Shamra shamra za kutimia miaka 20 ya Bodi ya Mapato Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI /MAELEZO ZANZIBAR.
 Mwanafunzi Kutoka Skuli ya Sekondary Umoja Uzini Zalha Bakari Omar akiwasilisha mada katika Mdahalo kuhusu Kodi kwa Skuli za Sekondary Kanda ya Unguja uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA Kampasi ya Vuga Zanzibar.Ikiwa ni Shamra shamra za kutimia miaka 20 ya Bodi ya Mapato Zanzibar.
 Mwanafunzi Kutoka Skuli ya Sekondary ya Biashara Mombasa Haidar Suleiman Rashid akiwasilisha mada katika Mdahalo kuhusu Kodi kwa Skuli za Sekondary Kanda ya Unguja uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA Kampasi ya Vuga Zanzibar.Ikiwa ni Shamra shamra za kutimia miaka 20 ya Bodi ya Mapato Zanzibar.
Baadhi ya Walimu na Wanafunzi kutoka Skuli za Sekondary walioshiriki kuhusu Kodi kwa Skuli za Sekondary Kanda ya Unguja uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo Kikuu cha Zanzibar SUZA Kampasi ya Vuga Zanzibar. Ikiwa ni Shamra shamra za kutimia miaka 20 ya Bodi ya Mapato Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...