RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali
Mohamed Shein na Mkewe Mama.Mwanamwema Shein, wakisalimiana na Wakuu wa
Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar,katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,wakati akiondoka Nchini leo
kuelekea Ras Al Khaimah katika Umoja wa Nchi za Kiarabu (UAE) kwa ziara
ya wiki moja (Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akisalimiana na Wazee wa CCM Zanzibar,Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,wakati akiondoka Nchini leo
kuelekea Ras Al Khaimah, katika Umoja wan chi za Falme za Kiarabu (UAE)
kwa ziara ya wiki moja.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali
Mohamed Shein, akisalimiana na kuagana na Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar.Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa
wa Abeid Amani Karume Zanzibar, wakati akiondoka Nchini leo kuelekea Ras
Al Khaimah, katika Umoja wan chi za Falme za Kiarabu (UAE) kwa ziara ya
wiki moja, kulia Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.Mhe. Hassan
Khatib Hassan na Mkuu wa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja. Kapteni Silima
Haji.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, wakiwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,wakati akiondoka Nchini Zanzibar leo kuelekea Ras Al Khaimah, kwa ziara ya wiki moja.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...