Mkuu wa Kombania ya Muziki Meja Nimroad Kitinya akipokea Udhamini wa Jezi kutoka Kwa Mwakilishi wa Smart Gin Forgiver Tito wakati wa Sherehe ya Uzinduzi wa Jezi mpya za Timu ya Green Warriors inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza katika hafla iliyofanyika Club 361 Mwenge Jijini Dar Es Salaam .
Baadhi ya Wachezaji wakiwa wamevalia Jezi za Ugenini Nyeusi na Nyumbani Za Kijani wakizionyesha kwa Wadau katika Hafla iliyofanyika Club 361 Mwenge Jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...