Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eng Isack Kamwelwe kipata maelekezo kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya Tigo juu ya huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni hiyo mara baada ya kutembelea banda la kampuni hiyo wakati wa mkutano wa mawaziri (Tehama) nchi wanachama wa SADC unaoendelea. Kampuni ya simu ya Tigo ni mtoa huduma ya WI-FI ya Bure katika wa mkutano huo.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Eng Isack Kamwelwe akifanya usajili upya wa laini ya simu kwa mfumo wa alama za vidole wakati alipotembelea banda la Tigo wakati wa mkutano wa mawaziri (Tehama) nchi wanachama wa SADC unaoendelea. Kampuni ya simu ya Tigo ni mtoa huduma ya WI-FI ya Bure katika wa mkutano huo. 
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la utangazaji (TBC) Ayub Rioba akifanya usajili upya wa laini ya simu kwa mfumo wa alama za vidole wakati alipotembelea banda la Tigo wakati wa mkutano wa mawaziri (Tehama) nchi wanachama wa SADC unaoendelea. Kampuni ya simu ya Tigo ni mtoa huduma ya WI-FI ya Bure katika wa mkutano huo. 
Mtaalamu wa mifumo ya mawasiliano (Tehama) Benjamin Sabuka akipata maelekezo kutoka kwa mfanyakazi wa kampuni ya Tigo juu ya huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni hiyo mara baada ya kutembelea banda la kampuni hiyo wakati wa mkutano wa mawaziri (Tehama) nchi wanachama wa SADC unaoendelea. Kampuni ya simu ya Tigo ni mtoa huduma ya WI-FI ya Bure katika wa mkutano huo 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...