Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc, Bw. Ali Mufuruki (katikati) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa mkutano wa mwaka wa wanahisa wa Vodacom uliofanyika jijini Dar Es Salaam leo. Wengine pichani ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Hisham Hendi (kushoto) na Mkurugenzi wa Fedha Jacques Marais.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc, Hisham Hendi akibadilishana mawazo na Mkurugenzi, Bi. Margaret Ikongo kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa wanahisa wa Vodacom Tanzania Plc uliofanyika leo jijini Dar Es Salaam

 Sehemu ya wanahisa waliojitokeza kwenye mkutano wa mwaka wa Vodacom Tanzania Plc uliofanyika jijini Dar Es Salaam leo.


Mkuu wa Mipango na Uwekezaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hilda Bujiku akizungumza na wanahisa waliohudhuria mkutano mkuu wa mwaka wa wanahisa wa Vodacom Tanzania jijini Dar Es Salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...