Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk. Hassan Abbasi (katikati) akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa semina maalum kwa waandishi kuelekea Tamasha la Utamaduni wa Afrika Mashariki (JAMAFEST) litakaloanza kesho 21 Septemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa maandalizi ya tamasha hilo Bi. Joyce Fissoo na kulia Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari, Rodney Thadeus.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk. Hassan Abas akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wa semina maalum kwa waandishi kuelekea Tamasha la Utamaduni wa Afrika Mashariki (JAMAFEST) litakaloanza kesho 21 Septemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya maandalizi ya Tamasha la Utamaduni wa Afrika Mashariki (JAMAFEST) Bi. Joyce Fissoo akieleza historia ya tamasha hilo kwa waandishi wa habari wakati wa semina maalum kwa waandishi kuelekea Tamasha la Utamaduni wa Afrika Mashariki (JAMAFEST) litakaloanza kesho 21 Septemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia semina maalum kwa waandishi
kuelekea Tamasha la Utamaduni wa Afrika Mashariki (JAMAFEST) litakaloanza kesho 21 Septemba katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Picha na WHUSM – Dar es Salaam

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...