Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akiongozana na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Ramadhani Kailima (kulia), baada ya kukagua Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Zimamoto na Uokoaji jijini Dodoma mwishoni mwa wiki.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akizungumza wakati wa ukaguzi wa  Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Zimamoto na Uokoaji jijini Dodoma mwishoni mwa wiki.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo,Ramadhani Kailima na Kulia ni Kamishna Jenerali wa Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akiteta jambo  na Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Ramadhani Kailima (kulia), baada ya kukagua Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Zimamoto na Uokoaji jijini Dodoma mwishoni mwa wiki.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola akizungumza na Maofisa wa Zimamoto na Uokoaji (hawapo pichani), wakati wa ziara ya  ukaguzi wa  Mradi wa Ujenzi wa Makao Makuu ya Zimamoto na Uokoaji jijini Dodoma mwishoni mwa wiki.Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa wizara hiyo,Ramadhani Kailima na Kulia ni Kamishna Jenerali wa Zimamoto na Uokoaji, Thobias Andengenye.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...