Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Mchezo Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza wakati akifunga mkutano wa Mkutano wa Mawaziri wa SADC wa Sekta ya TEHAMA, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa wanaokutana kuanzia Septemba 16-18, 2019 jijini Dar es Salaam. Na unatarajia kumalizika Septemba 19-20, 2019. Picha zote na Matokeo Chanya+.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Mchezo Dkt. Harrison Mwakyembe na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Sekta ya Uchukuzi Bw. Leonard Chamriho wakifuatilia wakati wa kufunga mkutano wa Mkutano wa Mawaziri wa SADC wa Sekta ya TEHAMA, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa wanaokutana kuanzia Septemba 16-18, 2019 jijini Dar es Salaam. Na unatarajia kumalizika Septemba 19-20, 2019.
Manaibu waziri wa wa SADC wa Sekta ya TEHAMA, Habari, Uchukuzi na Hali ya Hewa wakifuatilia.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...