Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike akiteta jambo na Mkuu wa Idara ya Uhamiaji nchini, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala walipokutana jana Wilayani Ruangwa ziarani.
Kamishna
Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike, akisalimiana na Msaidizi
wa Mkuu wa Gereza Ruangwa, Mkaguzi wa Magereza, Alex Munga’nzo
alipowasili kwa ziara ya kikazi Gerezani hapo.
Mkuu
wa Magereza Mkoani Lindi, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Josephine
Semwenda(kushoto) akisoma taarifa ya utendaji kazi ya Magereza Mkoani
Lindi mbele ya Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike(meza kuu)
alipowasili Gereza Ruangwa
Kamishna
Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike akiakagua korosho ambayo
tayari imeanza kuvunwa katika mashamba mbalimbali ya Gereza Ruangwa,
lililopo Mkoani Lindi.
Ujenzi
wa jengo litakalotumika kwa ajili ya mapokezi ya ndugu na jamaa za
wafungwa na mahabusu wanaofika Gereza Ruangwa kuwatembelea ndugu zao
ukiendelea katika hatua mbalimbali za ujenzi.
(Picha zote na Jeshi la Magereza).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...