Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike akiteta jambo na Mkuu wa Idara ya Uhamiaji nchini, Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Dkt. Anna Makakala walipokutana jana Wilayani Ruangwa ziarani.
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike, akisalimiana na Msaidizi wa Mkuu wa Gereza Ruangwa, Mkaguzi wa Magereza, Alex Munga’nzo alipowasili kwa ziara ya kikazi Gerezani hapo.
Mkuu wa Magereza Mkoani Lindi, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Josephine Semwenda(kushoto) akisoma taarifa ya utendaji kazi ya Magereza Mkoani Lindi mbele ya Kamishna Jenerali wa Magereza, Phaustine Kasike(meza kuu) alipowasili Gereza Ruangwa
Kamishna Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike akiakagua korosho ambayo tayari imeanza kuvunwa katika mashamba mbalimbali ya Gereza Ruangwa, lililopo Mkoani Lindi.
Ujenzi wa jengo litakalotumika kwa ajili ya mapokezi ya ndugu na jamaa za wafungwa na mahabusu wanaofika Gereza Ruangwa kuwatembelea ndugu zao ukiendelea katika hatua mbalimbali za ujenzi.
(Picha zote na Jeshi la Magereza).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...