Mhandisi Manda akitoa maelekezo juu ya Ujenzi mradi wa
uzalishaji Umeme katika Mto Rufiji kulia kwake ni Kamishna wa
Kamisheni ya Polisi Intelijensia ya Jinai CP Charles Mkumbo,
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Boaz
wa kwanza kutoka kulia ni Kamishna wa Operesheni na Mafunzo
CP Liberatus Sabas (PICHA NA JESHI LA POLISI)
Makamishna wa Polisi wakiongozwa na Mkurugenzi wa Upelelezi
wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Boaz, katikati na kulia kwake ni
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo CP Liberatus Sabas,
Kamishna wa Kamisheni ya Polisi Maabara na Uchunguzi wa
Kisayansi CP Shaban hiki na kushoto kwa CP Boaz ni Kamishna
wa Kamisheni ya Polisi Intelijensia ya Jinai CP Charles Mkumbo
wakiwa katika picha ya pamoja na Wahandisi wa Ujenzi wa mradi
wa Umeme Rufiji baada ya kufanya ziara ya siku moja katika
mradi huo.
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Boaz,
akiongoza kikao cha Maafisa na Wahandisi wa Ujenzi wa Mradi
Mkubwa wa kuzalisha Umeme katika Mto Rufiji mkoani Pwani
baada ya kufanya ziara ya siku moja katika mradi huo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...