Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania na Makamu wa Rais wa Tatu wa shirika la Hali ya Hewa (WMO) Duniani Dk. Agnes Kijazi akifafanua jambo kuhusu utabiri wa mvua za vuli ambao utatangazwa kesho mara baada ya kufungua semina ya wanahabari inayofanyika leo kwenye makao makuu ya Mamlaka ya Hali ya hewa (TMA) Ubungo Plaza jijini Dar es salaam .
Bw. Samwel Mbuya Meneja Kituo Kikuu cha Utabiri TMA akimkaribisha Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Dk. Agnes Kijazi kufungua semina kuhusu utabiri wa mvua za vuli ambao utatangazwa kesho kwenye makao makuu ya Mamlaka ya Hali ya hewa (TMA) Ubungo Plaza jijini Dar es salaam .
Abubakar Lungo Mchambuzi wa Utabiri wa hali ya hewa kutoka Mamlaka ya Hali ya Hewa TMA akiwasilisha mada kwa waandishi wa habari inayofanyika Makao makuu ya TMA Ubungo Plaza, kuhusu utabiri wa mvua za vuli unaotarajiwa kutolewa kesho na mamlaka hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Dk. Agnes Kijazi akifafanua jambo kuhusu utabiri wa mvua za vuli ambao utatangazwa kesho mara baada ya kufungua semina ya wanahabari iliyofanyika leo kwenye makao makuu ya Mamlaka ya Hali ya hewa (TMA) Ubungo Plaza jijini Dar es salaam .
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Dk. Agnes Kijazi akiwa katika picha ya pamoja na waandishi wa habari mara baada ya kufungua semina iliyofanyika leo kwenye makao makuu ya Mamlaka ya Hali ya hewa (TMA) Ubungo Plaza jijini Dar es salaam .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...