Msanii wa Bongofleva Barnaba akiwajibika jukwaani wakati akitumbuiza kwenye Tamasha la Tigo Fiesta SIZe Yako liliofanyika jana mjini Sumbawanga
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Joriii akiitawala jukwaa la Tigo Fiesta 2019 Mjini Sumbawanga usiku wa kuamkia laeo
Msanii wa Bongofleva Barnaba akiwajibika jukwaani wakati akitumbuiza kwenye Tamasha la Tigo Fiesta SIZe Yako liliofanyika jana mjini Sumbawanga

 

Msanii wa bongoflava Jay Melody akiwa jukwaani katika tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia leo mjini Sumbawanga
Msanii Badest akitumbuiza katika jukwaa la Tigo Fiesta sumbawanga jana
Mtangazaji wa kipindi cha Double XXL kinachorushwa na radio ya crouds fm ambaye alikuwa moja washereheshaji katika tamasha la Tigo Fiesta Sumbawanga akiwa na wapenzi wa kipndi hicho kutoka Sumbawanga
Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dr Alfani Haule akiburudika na mziki katika jukwaa la Tigo Fiesta.
Mkuu wa wilaya ya Sumbawanga Dr Alfani Haule akiwa na mtangazaji wa Double XXL katika jukwaa la Tigo Fiesta mwisho wa wiki .
Mkuu wa Wilaya ya Sumbawanga Dkt. Khalfan Haule akimtambulisha mbunge wa Jimbo la Sumbawanga mjini mh Aeshi Hilaly na kuchemza muziki jukwaani usiku wa kuamkia leo Sumbawanga
Mbunge wa Sumbawanga mjini akiongea na wananchi walio hudhulia kwenye tamasha la Tigo Fiesta jana Sumbawanga.
Msanii Marioo akitumbuiza kwenye tamasha la Tigo Fiesta jana Sumbawanga
Msanii wa muziki wa injili Goodluck Gozbeth akitumbuiza kwenye jukwaa la Tigo Fiesta jana Sumbawanga
Msanii wa bongo fleva Joh Makini akiwa jukwaani akitumbuiza kwenye Tigo Fiest 2019 sumbawanga usiku wa kuamkia leo
Msanii Mr Blue akitumbuIza kwenye Tamasha la Tigo Fiesta usiku wa kuamkia leo Sumbawanga
Maelfu ya wapenda burudani wa mkoa wa Rukwa na Mikoa ya karibu wakifurahia burudani mbali mbali zinazotolewa katika jukwaa la Tigo Fiesta saizi yako Mjini Sumbawanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...