Regency Medical Centre ya jijini Dar es salaam kwa kushirikiana na madaktari bingwa kutoka nchini India wameandaa kambi ya ushauri ya mgongo na mifupa tarehe 26, 27 na 28 mwezi wa huu wa tisa (Septemba) kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 11 jioni.
Kwa maelezo zaidi piga namba hizi:
022 2150500
0784 417500
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...