Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale wa Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo (kulia) akipokea Router ya Vodacom toka kwa Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiano wa Kikanda Vodacom Tanzania, Aileen Meena mjini Zanzibar juzi kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa Zanzibar Association of Tourism Investors ZATI. Anayeshuhudia ni Akaunti Meneja wa Vodacom Zanzibar, Faraji Mkumbi.
Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiano wa Kikanda Vodacom Tanzania, Aileen Meena akizungumza kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa ZATI Mjini Zanzibar juzi, Vodacom ndio mdhamini mkuu wa mkutano huo.
Mkuu wa Kitengo cha Ushirikiano wa Kikanda Vodacom Tanzania, Aileen Meena akimkabidhi laini ya Vodacom kwa Waziri wa Habari na mambo ya kale wa Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo kwenye mkutano mkuu wa mwaka wa ZATI.
Mfanyakazi wa Vodacom Zanzibar, Fahad (mwenye kofia) akimuelezea jambo Waziri wa Habari Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Mahmoud Thabit Kombo.
Wadau wa Utalii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...