Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Jimbo la Nzega vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Kata ya Itwigu jimbo la Nzega vijijini wakati wa ziara yake ya jimbo ya kuhamasisha shughuli za maendeleo na kutatua kero za wananchi wa jimbo hilo.
Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Jimbo la Nzega vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiwa ameambatana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Mbagwa jimbo la Nzega Vijijini mara baada ya kuwasili katika kata hiyo akiwa katika ziara yake ya jimbo kuhamasisha maendeleo, kuzungumza na wananchi na kutatua kero.
Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Jimbo la Nzega vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla akisalimiana na wanachama wa CCM – UWT wa Kata ya Nkiniziwa,jimbo la Nzega Vijijini wakati wa ziara yake ya jimbo ya kuhamasisha shughuli za maendeleo na kutatua kero za wananchi wa jimbo lake.
Waziri wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Jimbo la Nzega vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiangalia maendeleo ya ujenzi wa Ofisi ya CCM ya Kata ya Nkiniziwa wakati wa ziara yake ya jimbo ya kuhamasisha shughuli za maendeleo na kutatua kero za wananchi wa jimbo hilo.

PICHA – Aron Msigwa – Nzega.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...