MBUNGE wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi akijiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Mwamhuge, Kijiji cha  Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu. Kulia ni Afisa Mwandikishaji Sospeter Mseya.(13. 10.2019)
 MBUNGE wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi akiwa kwenye mstari kwa ajili ya kuingia kwenye kituo cha kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Mwamhuge, Kijiji cha  Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu. .(13. 10.2019)
 MBUNGE wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi akisalimiana na Waasisi wa Chama cha TANU muda mfupi baada ya kukamilisha zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Mwamhuge, Kijiji cha  Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu. .(13. 10.2019
 MBUNGE wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi akizungumza na wananchi muda mfupi baada ya kukamilisha zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Mwamhuge, Kijiji cha  Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu. Kushoto ni Mbunge wa Zamani wa Jimbo la Maswa, Constantine Sement Shillingi  (13. 10.2019)
MBUNGE wa Jimbo la Kisesa Mhe. Luhaga Mpina ambaye pia ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi akisisitiza umuhimu wa kuchagua viongozi bora watakaoweza kusimamia mipango ya Serikali kwenye vitongoji na vijiji muda mfupi baada ya kukamilisha zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Mwamhuge, Kijiji cha  Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu (13. 10.2019)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...