Aliyekua Naibu Msajili Mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga Mhe. Sekela Mwaiseje(aliyesimama) akizungumza jambo wakati wa hafla fupi ya kumuaga baada ya kuhamia Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.

Bw. Bildars Ogenga akitoa salama za shukrani na kuwatakia heri viongozi wa Mahakama Kanda ya Shinyanga ambao wamehama kikazi kwa niaba ya watumishi wa Mahakama kuu Kanda ya Shinyanga.

Aliyekuwa Mtendaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga Bw. Ernest Masanja akiongea jambo wakati wa hafla fupi ya Kumuaga baada ya kuhamia Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...