Aliyekua Naibu Msajili Mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga Mhe. Sekela Mwaiseje(aliyesimama) akizungumza jambo wakati wa hafla fupi ya kumuaga baada ya kuhamia Mahakama Kuu Kanda ya Arusha.
Bw. Bildars Ogenga akitoa salama za shukrani na kuwatakia heri viongozi wa Mahakama Kanda ya Shinyanga ambao wamehama kikazi kwa niaba ya watumishi wa Mahakama kuu Kanda ya Shinyanga.
Aliyekuwa Mtendaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Shinyanga Bw. Ernest Masanja akiongea jambo wakati wa hafla fupi ya Kumuaga baada ya kuhamia Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...