Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akipiga penati kuashiria kuanza kwa mchezo wa Fainali ya Kamsese Cup 2019 kati ya timu ya Kikilo na Masange iliyofanyika jana Wilayani Kondoa.

Mashindano hayo yaliyomalizika kwa timu ya Kikilo kuibuka mshindi yalishirikisha timu 21 kutoka katika kila kata ya Jimbo la Kondoa Vijijini yaliandaliwa na kuratibiwa na mbunge wa jimbo hilo Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha na Mipango ambapo lengo kuu lilikuwa kuwaamasisha vijana kushiriki katika shughuli za maendeleo pamoja na uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...