Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli akizindua kitabu cha Historia ya Maisha ya Rais Mstaafu wa
Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa akishuhudiwa na Rais wa
Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein na Marais wastaafu Alhaj Ally Hassan
Mwinyi, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Balozi wa Finland nchini Tanzania
Mhe. Antila Sinikka katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius
Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumanne Novemba 12, 2019
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William akihutubia
wakati wa uzinduzi wa Kitabu cha Historia ya Maisha yake katika Ukumbi
wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo
Jumanne Novemba 12, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli baada ya kuzindua kitabu cha Historia ya Maisha ya Rais
Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa akiwa na Rais waZanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein na Marais wastaafu Alhaj Ally Hassan
Mwinyi, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika Ukumbi wa Mikutano wa
Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumanne Novemba
12, 2019






Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akimpongeza kwa hotuba nzuri Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe.
Benjamin William Mkapa wakati wa uzinduzi wa Kitabu cha Historia ya
Mhe. Mkapa huku akishuhudiwa na Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed
Shein na Marais wastaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi, Dkt Jakaya Mrisho
Kikwete pamoja na Balozi wa Finland nchini Mhe. Antila Sinikka katika
Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam


leo Jumanne Novemba 12, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiongoza kunyanyua glasi na kumtakia maisha marefu Rais Mstaafu wa
Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa katika kuadhimisha siku ya
kuzaliwa kwake wakati wa sherehe za uzinduzi wa kitabu cha historia ya
Maisha ya Mhe. Mkapa. Wengine hapo meza kuu ni Rais wa Zanzibar Dkt.
Ali Mohamed Shein na Marais wastaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi, Dkt
Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Anna Mkapa katika Ukumbi wa Mikutano waKimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumanne Novemba
12, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin
William Mkapa baada ya uzinduzi wa Kitabu cha Historia ya Mhe. Mkapa.
Wengine ni Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein na Marais wastaafu
Alhaj Ally Hassan Mwinyi, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Balozi
wa Finland nchini Mhe. Antila Sinikka na Mama Anna Mkapa pamoja na
maafisa wa Ofisi Binafsi ya Mhe. Mhe. Mkapa katika Ukumbi wa Mikutano
wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumanne
Novemba 12, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin
William Mkapa baada ya uzinduzi wa Kitabu cha Historia ya Mhe. Mkapa
wakiwa na Marais wastaafu Alhaj Ally Hassan Mwinyi na Dkt Jakaya
Mrisho Kikwete katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius
Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumanne Novemba 12, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin
William Mkapa, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dkt. Ali Mohamed Shein, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Spika wa
Bunge la Jamhuri ya Muungano Mhe. Job Ndugai na Marais wastaafu Alhaj
Ally Hassan Mwinyi na Dkt Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kuzindua
kitabu cha Historua ya Maisha ya Mhe. Mkapa katika Ukumbi wa Mikutano
wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumanne
Novemba 12, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
katika picha ya pamoja na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin
William Mkapa baada ya uzinduzi wa Kitabu cha Historia ya Mhe. Mkapa.
Wengine ni Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohamed Shein na Marais wastaafu
Alhaj Ally Hassan Mwinyi, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na Balozi
wa Finland nchini Mhe. Antila Sinikka na Mama Anna Mkapa na familia ya
Mhe. Mkapa katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam leo Jumanne Novemba 12, 2019



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...