Uchaguzi wa serikalizamitaa unaelekea ukingoni, Wananchi mtakutana na viashiria mbalimbali vya rushwa, mkatae kiongozi anaechaguliwa kwa rushwa, chagua kiongozi asiyependa rushwa, Kanyaga rushwa chagua maendeleo, hata  kipindi cha uchaguzi wa serikali za mitaa kataa rushwa tenda haki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...