Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Ndg. Hosea Kashimba alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Kwa ziara ya kikazi ya kusikiliza kero za Wabunge
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Ndg. Hosea Kashimba alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Kwa ziara ya kikazi ya kusikiliza kero za Wabunge
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akikabidhiwa kipeperushi na Mkurugenzi Mkuu wa PSSSF, Ndg. Hosea Kashimba alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma, Kwa ziara ya kikazi ya kusikiliza kero za Wabunge, Kulia ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa PSSSF, Ndg. Abdul Njaidi
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro De Oliveira alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akizungumza na Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro De Oliveira (katikati) alipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na ugeni kutoka Ubalozi wa Angola, ulioongozwa na Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro De Oliveira (kushoto kwake), wageni wengine ni Wabunge wa Tanzania ambao ni Wawakilishi kwenye Jukwaa la Kibunge la SADC walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (watatu kulia) akiwa katika picha ya pamoja wakati akikabidhiwa zawadi ya kitabu na Balozi wa Angola nchini Tanzania, Mhe. Sandro De Oliveira (wa pili kulia), Wageni wengine ni Wabunge wa Tanzania ambao ni Wawakilishi kwenye Jukwaa la Kibunge la SADC walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...