Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Mhe, Dkt. Atuganile Ngwala(kushoto) akitoa Mafunzo kwa Wasaidizi wa Kumbukumbu, Makatibu Mahsusi na Wasaidizi wa ofisi wa Mahakama hiyo, ambapo aliwataka kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma katika kutekeleza majukumu yao ya kazi. Aidha Dkt. Ngwala aliwataka watumishi hao kuzingaatia maadili ya kazi zao kuwa mstari wa mbele katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano(TEHAMA). Kulia ni Naibu Msajili Mahakama Kuu Kanda ya Dare Salaam, Mhe.Ruth Massam.
Msaidizi wa Kumbukumbu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Bi. Tupokigwe Mwaipopo akichangia jamboMsaidizi wa Kumbukumbu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, Bi. Neema Lucasi akichangia jambo.
Baadhi ya Watumishi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakiwa katika mafunzo hayo
(Picha na Magreth Kinabo- Mahakama)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...