Wanamuziki wakongwe kutoka bendi mbalimbali mwaka 2011 waliungana na kufanya mazoezi kwa asili ya onesho maalumu la sherehe za miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika. Waimbaji ni pamoja na King Kikii, Hassan Rehani Bitchuka, John Kitime na Waziri Ally, Hamza "Komandoo" Kalala alipiga gitan la solo huku Juma Ubao akipiga Rythim huku tumba likipigwa na Ally Jamwaka wakaty Mafumu Bilali Bombenga, Joseph na Shaaban Lendi wakipuliza Sax.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...