Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza kwa simu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akihotubia katika Kongamano la Sanaa la Mwalimu (Mwalimu Arts Festival) lililofanyika katika kituo cha Mikutano wa Kimatifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam , ambapo Mhe. Rais ameahidi kutoa Tsh Milioni mia moja (100) kwaajili ya Mfuko wa Sanaa. Novemba 15, 2019



Rais wa Shirikisho la Muziki Tanzania, Ado Novemba akisoma Risala mbele ya Mgeni Rasmi ambaye ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe .Kassim Majaliwa( hayupo pichani), katika Tamasha la Mwalimu Arts Festival 2019, lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Juilius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Novemba 15, 2019.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akisikiliza simu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli alipopiga kuwapongeza wasanii kwa kuanzisha tamasha la Mwalimu Arts Festival 2019, aliyeshikilia simu hiyo ni Rais wa Shirikisho la Muziki Nchini Ado Novemba.
Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt.Harrison Mwakyembe akizungumza na kumkaribisha Mgeni Rasmi katika Tamasha la Mwalimu Arts Festival 2019 ambaye ni Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa, lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Juilius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Novemba 15, 2019.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akizungumza na Washiriki wa Tamasha la Mwalimu Arts Festival 2019, lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Juilius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Novemba 15, 2019.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa akiwahutubia washiriki wa Tamasha la Mwalimu Arts Festival 2019, lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Juilius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Novemba 15, 2019.

Wasanii na wadau mbalimbali wa Sanaa wakishangilia baada ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa kuongea kwa simu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akihotubia katika Kongamano la Sanaa la Mwalimu (Mwalimu Arts Festival) lililofanyika katika kituo cha Mikutano wa Kimatifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam , ambapo Mhe. Rais ameahidi kutoa Tsh Milioni mia moja (100) kwaajili ya Mfuko wa Sanaa. Novemba 15, 2019
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda akizungumza katika Kongamano la Sanaa la Mwalimu (Mwalimu Arts Festival) lililofanyika katika kituo cha Mikutano wa Kimatifa cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam , ambapo Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa alimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli ambaye pia ameahidi kutoa Tsh Milioni mia moja (100) kwaajili ya Mfuko wa Sanaa. Novemba 15, 2019.


Msanii wa Mashairi ya Kughani, Mrisho Mpoto akitoa burudani katika Tamasha la Mwalimu Arts Festival 2019 lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Juilius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Novemba 15, 2019
Msanii wa Mashairi ya Kughani, Mrisho Mpoto akiingia kutoa burudani katika Tamasha la Mwalimu Arts Festival 2019 lililofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Juilius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo Novemba 15, 2019.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...