Mahafali ya kumi na nane (18) chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Mbeya yamefanyika Tarehe 29 Novemba 2019 katika viwanja vya chuo hicho kwa kuongozwa na Bendi ya Magereza katika Maandamano ya kitaaluma kuelekea sehemu ya mahafali pamoja na, Wakuu wa kampasi za Vyuo, Skuli, Taasisi na kurugenzi.






 kutoka kulia Pichani ni Jaji mstaafu Barnabas Samatta mkuu wa chuo kikuu Mzumbe akitunuku Shahada, Stashahada na Astashahada kwa wahitimu wa chuo cha Mzumbe kampasi ya Mbeya.

 Baadhi ya wahitimu wakiwa wamependeza na Mavazi ya heshma na maalum katika Sherehe kubwa ya mahafali ya kumi na nane (18) chuo kikuu Mzumbe kampasi ya Mbeya 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...