Mkuu wa Chuo kikuu Ardhi (ARU) Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa David Msuya akiongoza andamano la wana taaluma katika mahafali ya kumi na tatu ya chuo hicho kwa minajili ya kutunukisha digrii na Stashahada za chuo Kikuu Ardhi jijini Dar es Salaam Disemba 7 2019. Pamoja naye ni Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Evaristo Liwa (kulia) na Naibu Makamu Mwenyekiti wa Baraza la Chuo, Juma Muhumbi. (Imeandaliwa na Robert Okanda)
Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Evaristo Liwa akitoa hotuba yake wakati wa mahafali hayo. 
SEHEMU ya wahitimu wakifuatilia matukio ya mahafali yao yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo Kikuu Ardhi (ARU). 
Juu na chini; baadhi ya wahitimu wakifuatilia matukio ya mahafali yao yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo Kikuu Ardhi (ARU). 
SEHEMU ya wahitimu wakifuatilia matukio ya mahafali yao yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo Kikuu Ardhi (ARU)
Furaha ya mafanikio; Baadhi ya wahitimu wakijipiga picha y 'selfie' wakati wa kufungwa kwa mahafali yao yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo Kikuu Ardhi (ARU).
Mkuu wa Chuo kikuu Ardhi (ARU) Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa David Msuya (kushoto) akiagana na Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Evaristo Liwa.
Mkuu wa Chuo kikuu Ardhi (ARU) Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa David Msuya (wa nne kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wanataaluma baada ya kuhitimisha mahafali hayo. 






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...