Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe Patrobas Katambi akiwajulia hali wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Dodoma ambao wamelazwa kwa kile kinachoelezwa kula chakula chenye sumu.
Watu zaidi ya 37 wamelazwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma (General Hospital) kwa ugonjwa wa kuhara na kutapika baada ya kula chakula kinachosadikiwa kuwa na sumu kwenye msiba eneo la Mtumba nje kidogo ya Jiji la Dodoma.
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi tayari kashafika hospitalini hapo na amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Watu zaidi ya 37 wamelazwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma (General Hospital) kwa ugonjwa wa kuhara na kutapika baada ya kula chakula kinachosadikiwa kuwa na sumu kwenye msiba eneo la Mtumba nje kidogo ya Jiji la Dodoma.
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi tayari kashafika hospitalini hapo na amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
TUTAWALETEA TAARIFA ZAIDI KUHUSU TUKIO HILI KADIRI YA ZITAKAVYOPATIKANA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...