Bendi maarufu ya muziki wa dansi Ngoma Africa Band almaarufu
FFU-Ughaibuni yenye makao nchini Ujerumani,inawatakia kila la heri
katika kusherehekea miaka 58 ya Uhuru wa Tanzania bara . Salam hizi za heri ya 9 Disemba
ziwafikie watanzania wote walio nyumbani na nje ya nchi.Ngoma Africa
band chini ya uongozi wake Kamanda ras Makunja unaweza kuwasikiliza pia
katika kambi yao ya FFU-ughaibuni bofya http://www.ffacebook.com/ ngomaafricaband
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...