RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akikata Utepe kuashiria kuizindua Boti Mpya ya Kampuni ya Uvuvi Zanzibar (ZAFICO) hafla hiyo ya uzinduzi imefanyika katika ufukwe wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar (kushoto kwa Rais) Naibu Waziri wa Kilimmo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar.Dkt. Makame Ali Ussi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Nahodha wa Boti ya Uvuvi ya Sehewa Ndg. Rashid Abdalla Rashid, akiada ya uzinduzi huo uliofanyika katika ufukwe wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Nahodha wa Boti ya Uvuvi ya Sehewa Ndg. Rashid Abdalla Rashid, akiada ya uzinduzi huo uliofanyika katika ufukwe wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimsikiliza Nahodha wa Boti ya Uvuvi ya Sehewa Ndg. Rashid Abdalla Rashid, akiada ya uzinduzi huo uliofanyika katika ufukwe wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza MKURUGENZI Mtendaji Kampuni ya Uvuvi ya Zanzibar (ZAFICO) Ndg.Zahor Kassim Mohamed, wakati akitembelea Boti hiyo ya Sehewa baada ya kuizindua leo katika ufukwe wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimsikiliza Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi Zanzibar.Ndg. Mussa Aboud Jumbe, akionesha aina ya samaki watakaovuliwa na Boti hiyo ya Kisasa ya Uvuvi ya Sehewa wakati wa uzinduzi huo uliofanyika Desemba 2, 2019. Katika ufukwe wa bahari ya Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar.(PICHA NA IKULU)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...