Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisogea kuangalia picha ya mfano wa Daraja hilo litakalojengwa kutokea Kigongo Misungwi hadi Busisi Sengerema mkoani Mwanza. Daraja hilo litakalopita ziwani litakuwa na urefu wa km 3.2 na kufanya kuwa Daraja refu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. 
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia picha ya mfano wa Daraja hilo litakalojengwa kutokea Kigongo Misungwi hadi Busisi Sengerema mkoani Mwanza. Daraja hilo litakalopita ziwani litakuwa na urefu wa km 3.2 na kufanya kuwa Daraja refu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki.
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Mkuu wa Mkoa wa Geita Mhandisi Robert Gabriel na Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Gaguti walipokuwa wakiangalia picha ya mfano wa Daraja hilo litakalojengwa kutokea Kigongo Misungwi hadi Busisi Sengerema mkoani Mwanza. Daraja hilo litakalopita ziwani litakuwa na urefu wa km 3.2 na kufanya kuwa Daraja refu katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi wengine akivuta utepe kuashiria uwekaji wa Jiwe la Msingi Mradi wa Ujenzi wa Daraja la kutoka Kigongo hadi Busisi lenye urefu wa km 3.2 katika sherehe zilizofanyika katika eneo la Kigongo Misungwi mkoani Mwanza.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Mke wake Mama Janeth Magufuli watatu kutoka kulia pamoja na baadhi ya Viongozi Wakuu wa Kamati ya Ulinzi na Usalama akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Mitambo itakayotumika katika ujenzi wa Daraja hilo refu kupita yote katika ukanda wa Afrika Mashariki lenye urefu wa km 3.2 katika sherehe zilizofanyika katika eneo la Kigongo Misungwi mkoani Mwanza.



 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipiga ngoma mara baada ya kuweka jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Daraja la kutoka Kigongo hadi Busisi Misungwi mkoani Mwanza.

 Mbunge wa Misungwi Mhe. Charles Kitwanga akicheza ngoma ya Gobogobo wakati wa sherehe ya uwekaji wa  jiwe la msingi mradi wa ujenzi wa Daraja la kutoka Kigongo hadi Busisi Misungwi mkoani Mwanza.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza wakati akiwa na Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Iseni B Salma Yasin ambaye alielezea vizuri kero mbalimbali za Shule yao na kufanikiwa kuchangiwa kiasi cha Shilingi milioni 5 na Mhe. Rais Dkt. Magufuli. PICHA NA IKULU




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...