Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano wa Vodacom Plc, Rosalynn Mworia (kulia) akizungumza wakati wa kongamano la Data Tamasha linalokusanya wadau mbalimbali wa takwimu kwa maendeleo endelevu linalofanyika jijini Dar Es Salaam. Wengine ni Meneja Mkazi wa CRS Tanzania, Kelli Hynes na Mkurugenzi Uendeshaji wa FSDT, Irene Mlola.
Mkuu wa Kitengo kinachoangalia ufanisi wa Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc, Zaituni Ally akizungumza wakati wa kongamano la Data Tamasha linalokusanya wadau mbalimbali wa takwimu kwa maendeleo endelevu linalofanyika jijini Dar Es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...