Meneja wa Vodacom Kanda ya Kaskazini Brigita Stephen(kushoto) akizindua simu ya mkononi aina ya smart kitochi kwa Mikoa ya Kanda ya Kaskazini yenye uwezo mkubwa wa internet ya 4G iliyozunduliwa Mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro.

Wafanyakazi wa kampuni ya Vodacom wakiwa kwenye hafla ya  uzinduzi wa  simu ya mkononi aina ya smart kitochi kwa Mikoa ya Kanda ya Kaskazini yenye uwezo mkubwa wa internet ya 4G iliyofanyika viwanja vya kituo cha mabasi Mjini Moshi.
Baadhi wafanyakazi wa kampuni ya Vodacom wakifurahia uzinduzi wa  simu ya mkononi aina ya smart kitochi kwa Mikoa ya Kanda ya Kaskazini yenye uwezo mkubwa wa internet ya 4G iliyofanyika viwanja vya kituo cha mabasi Mjini Moshi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...