Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwa na
Mkewe Mary, wakiweka mashada ya maua, kwenye kaburi la Kaka wa Mama
Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko
Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwa na
Mkewe Mary (kushoto), wakizungumza na Mama Maria Nyerere, baada ya
mazishi ya Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki
tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwa na Mkewe Mary (kulia), wakimpa pole, Mjane
wa Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma,
mkoani Mara, ambaye ni Kaka wa Mama Maria Nyerere, baada ya mazishi,
Desemba 7, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mjumbe
wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Makongoro Nyerere, kwenye
msiba wa Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki
tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
akisalimiana na Mtoto wa Baba wa Taifa, Mdaraka Nyerere, kwenye msiba wa
Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe
4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimpa
mkono wa pole Mama Maria Nyerere, kwenye msiba wa Kaka yake, Mzee Inyasi
Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara,
Desemba 7, 2019
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
akizungumza na Mama Maria Nyerere, kwenye mazishi ya Kaka yake, Mzee
Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara,
Desemba 7, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiweka
udongo, kwenye kaburi la Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi
Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba
7, 2019
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...