Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwa na Mkewe Mary, wakiweka mashada ya maua, kwenye kaburi la Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwa na Mkewe Mary (kushoto), wakizungumza na Mama Maria Nyerere, baada ya mazishi ya Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiwa na Mkewe Mary (kulia), wakimpa pole, Mjane wa Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, ambaye ni Kaka wa Mama Maria Nyerere, baada ya mazishi, Desemba 7, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Taifa ya CCM (NEC), Makongoro Nyerere, kwenye msiba wa Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Mtoto wa Baba wa Taifa, Mdaraka Nyerere, kwenye msiba wa Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akimpa mkono wa pole Mama Maria Nyerere, kwenye msiba wa Kaka yake, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akizungumza na Mama Maria Nyerere, kwenye mazishi ya Kaka yake, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akiweka udongo, kwenye kaburi la Kaka wa Mama Maria Nyerere, Mzee Inyasi Gabriel, aliyefariki tarehe 4.12.2019, huko Musoma, mkoani Mara, Desemba 7, 2019

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...