Maofisa wa Benki ya Exim tawi la mkoa wa Iringa, wakiongozwa na Meneja wa Tawi la benki hiyo mkoani humo Bw Michael Richard (Katikati) wakifurahi pamoja na wanafunzi Shule ya Sekondari ya Ruaha iliyopo mkoani humo baada ya kukabidhi msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi hao ikiwa ni sehemu ya mpango wa benki hiyo wa uwajibikaji wa kwa jamii (CSR) unaofahamika kama Exim Cares.
Maofisa wa Benki ya Exim tawi la mkoa wa Iringa, wakiongozwa na Meneja wa Tawi la benki hiyo mkoani humo Bw Michael Richard (Katikati) wakiwa kwenye picha ya pamoja na wanafunzi Shule ya Sekondari ya Ruaha iliyopo mkoani humo baada ya kukabidhi msaada wa taulo za kike kwa wanafunzi hao ikiwa ni sehemu ya mpango wa benki hiyo wa uwajibikaji wa kwa jamii (CSR) unaofahamika kama Exim Cares.
Meneja wa Benki ya Exim tawi la mkoa wa Iringa, Bw Michael Richard (Katikati) akikabidhi
msaada wa taulo za kike kwa Mlezi wa wanafunzi wa kike wa Shule ya
Sekondari ya Ruaha iliyopo mkoani humo Bi. Fatuma Tembo (kushoto kwake)
ikiwa ni sehemu ya mpango wa benki hiyo wa uwajibikaji wa kwa jamii
(CSR) unaofahamika kama Exim Cares. Wanaoshuhudia ni baadhi ya maofisa wa benki hiyo pamoja na baadhi ya wanafunzi wa shule hiyo.
Meneja wa Benki ya Exim tawi la mkoa wa Iringa, Bw Michael Richard (Katikati) akikabidhi
msaada wa taulo za kike kwa Mlezi wa wanafunzi wa kike wa Shule ya
Sekondari ya Ruaha iliyopo mkoani humo Bi. Fatuma Tembo (kushoto kwake)
ikiwa ni sehemu ya mpango wa benki hiyo wa uwajibikaji wa kwa jamii
(CSR) unaofahamika kama Exim Cares. Wanaoshuhudia ni baadhi ya maofisa wa benki hiyo pamoja na muwakilishi wa wanafunzi wa shule hiyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...