Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na Bunge) Bw. Tixon Nzunda
akizungumza neno la ufunguzi wakati wa kikao kazi cha wadau wa ujenzi
walipokutana Januari 27, 2020 kujadili mpango kabambe wa Ujenzi wa Ofisi
za Wizara Awamu ya Pili katika eneo la Mji wa Serikali Mtumba
Dodoma.Kikao kilifanyika katika Ukimbi wa Mkutano wa ofisi yake Dodoma,
wa kwanza kushoto ni Katibu wa kikosi kazi cha kuratibu zoezi la
Serikali kuhamia Dodoma Bw. Meshack Bandawe.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya
Ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga akichangia jambo wakati wa kikao kazi
cha wadau wa ujenzi walipokutana Januari 27, 2020 kujadili mpango wa
Ujenzi wa Ofisi za Wizara Awamu ya Pili katika eneo la Mji wa Serikali
Mtumba Dodoma.
Sehemu ya wajumbe wa kikao cha kujadili mpango kabambe wa ujenzi wa
majengo ya ofisi za serikali kwa Awamu ya Pili wakifuatilia hoja za
kikao hicho.
Baadhi ya wajumbe wa kikao cha kujadili mpango kabambe wa ujenzi wa
majengo ya ofisi za serikali kwa Awamu ya Pili wakifuatilia hoja za
kikao hicho.
Wajumbe wa kikao cha kujadili mpango wa ujenzi wa Majengo ya Ofisi za
Wizara kwa Awamu ya Pili katika Mji wa Serikali Mtumba Dodoma
wakifuatilia hoja za Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Waziri Mkuu na
Bunge) Bw. Tixon Nzunda wakati wa kikao hicho.
Mkurugenzi Idara ya Ushauri kutoka Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) Bw. Wencelaus Kizaba akiwasilisha taarifa ya mpango wa ujenzi wa majengo ya Ofisi za Wizara kwa Awamu ya Pili katika Mji wa Serikali Mtumba Dodoma kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano Ofisi ya Waziri Mkuu, Januari 27, 2020.
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...