Waziri wa
Nishati, Dkt.Medard Kalemani akizungumza katika kikao cha Kamati ya
Bunge ya Nishati. Wizara hiyo iliwasilisha taarifa kuhusu utekelezaji na
hali ya upatikanaji wa fedha za Miradi ya Kusambaza Umeme Vijijini
(REA).Pembeni yake ni Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mhe. Subura Mgalu.
Kikao hicho cha kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya
Nishati, Mhe. Dunstan Kitandula akizungumza katika kikao cha Kamati.
Kamati hiyo ilipokea na kujadili taarifa kuhusu utekelezaji na hali ya
upatikanaji wa fedha za Miradi ya Kusambaza Umeme Vijijini (REA).Pembeni
yake ni Katibu wa Kamati hiyo Felister Mgonja. Kikao hicho cha kamati
kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati
ya Bunge ya Nishati wakiwa katika kikao cha kamati hiyo ambapo
walikutana na watendaji wa Wizara ya Nishati na Wakala wa Umeme Vijijni.
Kikao hicho cha kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
PICHA NA OFISI YA BUNGE
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...