Waziri wa Nishati, Dkt.Medard Kalemani akizungumza katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Nishati. Wizara hiyo iliwasilisha taarifa kuhusu utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za Miradi ya Kusambaza Umeme Vijijini (REA).Pembeni yake ni Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mhe. Subura Mgalu. Kikao hicho cha kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati, Mhe. Dunstan Kitandula akizungumza katika kikao cha Kamati. Kamati hiyo ilipokea na kujadili taarifa kuhusu utekelezaji na hali ya upatikanaji wa fedha za Miradi ya Kusambaza Umeme Vijijini (REA).Pembeni yake ni Katibu wa Kamati hiyo Felister Mgonja. Kikao hicho cha kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati wakiwa katika kikao cha kamati hiyo ambapo walikutana na watendaji wa Wizara ya Nishati na Wakala wa Umeme Vijijni. Kikao hicho cha kamati kimefanyika katika Ofisi za Bunge Jijini Dodoma.
 PICHA NA OFISI YA BUNGE

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...