Madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa Shirika la Cardiostart International la nchini Marekani wakimfanyia mgonjwa upasuaji mkubwa wa kubadilisha valvu ya moyo iliyokuwa haifanyi kazi kwenye kambi maalum ya upasuaji wa moyo ya siku 12 kwa watoto na watu wazima  inayoendelea katika Taasisi hiyo. Hadi sasa wagonjwa 15 ambao ni watu wazima saba na watoto nane wameshafanyiwa upasuaji na hali zao zinaendelea vizuri.
Madaktari bingwa wa upasuaji wa moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na wenzao wa Shirika la Cardiostart International la nchini Marekani wakimfanyia mgonjwa upasuaji mkubwa wa kubadilisha valvu ya moyo iliyokuwa haifanyi kazi pamoja na kurekebisha mishipa ya damu ya moyo kwenye kambi maalum ya siku 12 ya upasuaji wa moyo kwa watoto na watu wazima inayoendelea katika Taasisi hiyo. Hadi sasa wagonjwa 15 ambao ni watu wazima saba na watoto nane wameshafanyiwa upasuaji na hali zao zinaendelea vizuri. Picha na JKCI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...