Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana  na wananchi kutoka Urambo walioambatana na mbunge wao, Margaret Sitta katika hafla ya kukabidhi majoho kwa Maspika wastaafu iliyofanyika Bugeni jijini Dodoma, Januari 28, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Spika wa bunge Job Ndugai  (aliyekaa wa pili kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na Maspika na Mawaziri Wakuu wastaafu katika hafla ya kukabidhi majoho kwa Maspika wastaafu iliyofanyika Bungeni jijini Dodoma, Januari 18, 2019.  Waliokaa kutoka kushoto ni Mbunge wa Urambo, Magaret Sitta ambaye pia ni Mke wa Spika Mstaafu, Marehemu Samuel Sitta, Spika wa Bunge Mstaafu, Pius Msekwa na kulia ni Spika wa Bunge Mstaafu, Anne Makinda. Waliosimama ni Maziri Wakuu Wataafu, kutoka kushoto ni Frederick Sumaye, Edward Lowassa na John Malecela. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Spika wa Bunge, Job Ndugai  (wa pili kulia) akimvalisha Joho, Spika  wa bunge Mstaafu, Pius Msekwa katika hafla ya kukabidhi majoho kwa Maspika Wastaafu iliyofanyika Bungeni jijini Dodoma, Januari 18, 2019. Kulia ni Katibu wa Bunge, Stephen Kagaigai. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani, Bungeni jijini Dodoma, Januari 28, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wanakwaya wa Bunge  wakiimba Wimbo wa Taifa wakati Spika wa bunge, Job Ndugai  alipoafungua Mkutano wa Kumi na Nane wa Bunge jijini Dodoma, Januari 28, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista Mhagama, Bungeni jijini Dodoma, Januari 28, 2019. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...