Mwenyekiti wa EAPCCO ambaye pia ni Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro leo 17/01/2020 Jijini Dodoma, amekutana na Ujumbe kutoka Umoja wa Nchi za Ulaya kwa lengo la kuzungumzia pamoja na mambo mengine, Mradi unaofadhili mafunzo ya kuwajengea uwezo wasimamizi wa sheria katika nchi zilizopo Pembe ya Afrika hususani kwenye masuala ya upelelezi . Picha na Jeshi la Polisi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...