Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi hiyo katika kikao cha kufungua mwaka kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha Ununuzi na Ugavi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPSP Bunare Daniel akielelezea umuhimu wa kufuata sheria za manunuzi katika kikao cha kufungua mwaka cha wafanyakazi wa Taasisi hiyo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Idara ya Rasilimali watu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Ghati Chacha akijibu swali kuhusu upandishwaji wa vyeo kwa wafanyakazi katika kikao cha wafanyakazi wa Taasisi hiyo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mwimbaji wa nyimbo za Injili na mfanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dorothy Nyanda akiwaeleza wafanyakazi wenzake kuhusu albamu yake mpya iitwayo Kristo Seba Waajuka (Bwana Yesu amefufuka) aliyoizindua mwishoni mwa mwaka jana akiwa na malengo ya nusu ya mauzo ya albamu hiyo kutumika kulipia gharama za matibabu ya moyo kwa watoto ambao familia zao hazina uwezo wakati wa kikao cha wafanyakazi wa Taasisi hiyo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Afya na Serikali kuu (TUGHE) tawi la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete Godfrey Tamba akiushukuru uongozi wa Taasisi hiyo kwa kusimamia maslahi ya wafanyakazi wakati wa kikao cha wafanyakazi wa Taasisi hiyo kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Afisa Muuguzi wa JKCI Oliver Marandu.
Kaimu Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Utawala na Fedha wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) CPA Mohamed Songoro akisoma taarifa ya utendaji kazi wa kurugenzi hiyo katika kikao cha wafanyakazi wa JKCI kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Upasuaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Angela Muhozya akisoma taarifa ya utendaji kazi wa kurugenzi hiyo katika kikao cha wafanyakazi wa JKCI kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Mohamed Janabi (hayupo pichani) wakati wa kikao cha kufungua mwaka cha wafanyakazi hao kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Mohamed Janabi (hayupo pichani) wakati wa kikao cha kufungua mwaka cha wafanyakazi hao kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Mohamed Janabi (hayupo pichani) wakati wa kikao cha kufungua mwaka cha wafanyakazi hao kilichofanyika leo jijini Dar es Salaam.(PICHA NA JKCI)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...