Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati yaUtambulisho kutoka kwa Balozi wa Djibouti hapa nchinimwenye makazi yake nchini Kenya Yacin Elmi Bouh marabaada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika
mazungumzo na Balozi wa Djibouti hapa nchini mwenyemakazi yake Kenya Yacin Elmi Bouh mara baada yakuwasilisha Hati zake za Utambulisho Ikulu jijini Dar esSalaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika
mazungumzo na Balozi wa Venezuela hapa nchini Jesus AgustinManzanilla PUPPO Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati yaUtambulisho kutoka kwa Balozi wa Israel mwenye makazi yakeKenya Oded Joseph Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati yaUtambulisho kutoka kwa Balozi wa Ufilipino hapa nchinimwenye makazi yake nchini Kenya Alex Chua katika hafla fupiiliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati yaUtambulisho kutoka kwa Balozi wa Ghana mwenye makaziyake nchini Kenya Fransisca Ashiete-ODUNTON Ikulu jijiniDar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati yaUtambulisho kutoka kwa Balozi wa Jamaica hapa nchinimwenye makazi yake Afrika Kusini Angela Veronica Comfortkatika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati yaUtambulisho kutoka kwa Balozi wa Austria mwenye makaziyake nchini Kenya Dkt. Christian Fellner Ikulu jijini Dar esSalaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati yaUtambulisho kutoka kwa Balozi wa Ureno hapa nchini mwenyemakazi yake nchini Msumbiji Maria Amelia Maio De PAIVAkatika hafla fupi iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaMheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Singapore hapa nchini mwenyemakazi yake Singapore Douglas Foo Peow Yong mara baada yakuwasilishha Hati zake za utambulisho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Balozi wa Ghana mwenye makazi yake nchini Kenya Fransisca Ashiete-ODUNTON Ikulu jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...