Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai, akizungumza kwenye Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar es Salaam,
Tanzania.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai, akiendesha Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Spika wa Bunge la Kenya na Mwenyekiti wa CPA Kanda ya Afrika, Mhe. Justine Muturi, akizungmza kwenye Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar esSalaam, Tanzania.
Mweka Hazina Msaidizi wa CPA, kwa kanda ya Afrika, Mhe. Elijah Okupa, akizungmza kwenye Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar es Salaam,Tanzania.
Mwakilishi wa CPA kutoka Afrika Mashariki(Kenya), Dkt.Makali Mulu, akizungmza kwenye Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar es Salaam,
Tanzania.
Tanzania.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai, akiendesha Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Spika wa Bunge la Kenya na Mwenyekiti wa CPA Kanda ya Afrika, Mhe. Justine Muturi, akizungmza kwenye Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar esSalaam, Tanzania.
Mweka Hazina Msaidizi wa CPA, kwa kanda ya Afrika, Mhe. Elijah Okupa, akizungmza kwenye Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar es Salaam,Tanzania.
Mwakilishi wa CPA kutoka Afrika Mashariki(Kenya), Dkt.Makali Mulu, akizungmza kwenye Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar es Salaam,
Tanzania.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai, akifurahi jambo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Nabimia na Mwakilishi wa CPA Kanda ya Kusini,Mhe.Benard Sibalatani (Kulia) na Spika wa Bunge la Kenya na Mwenyekiti wa CPA Kanda ya Afrika, Mhe. Justine Muturi(kushoto), mara ya kuwakaribisha Katika Ofisi ndogo za Bunge zilizoko Jijini Dar es Salaam, kwenye Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai, akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Nabimia na Mwakilishi wa CPA Kanda ya Kusini, Mhe. Benard Sibalatani (Kulia) na Spika wa Bunge la Kenya na Mwenyekiti wa CPA Kanda ya Afrika, Mhe. Justine Muturi (kushoto), kabla ya Kikao Cha Bodi ya Uwekezaji ya Chama cha Mabunge ya Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika (CPA), kilichofanyika Jijini Dar es Salaam, Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...