Alhaj Mfaume Rashid Kawawa

Familia ya Marehemu Rashid Mfaume Kawawa inasikitika kutangaza kifo cha Kaka yao mkubwa Alhaji Mfaume Rashid Kawawa kilichotokea leo huko Madale. Msiba upo Madale kwa mzee Kawawa na  mazishi yatafanyika kesho Jumanne alasiri hapohapo Madale kwa mzee Kawawa.

INNALILAH WAINNAILAIH RAJIUN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...