Alhaj Mfaume Rashid Kawawa
Familia ya Marehemu Rashid Mfaume Kawawa inasikitika kutangaza kifo cha Kaka yao mkubwa Alhaji Mfaume Rashid Kawawa kilichotokea leo huko Madale. Msiba upo Madale kwa mzee Kawawa na mazishi yatafanyika kesho Jumanne alasiri hapohapo Madale kwa mzee Kawawa.
INNALILAH WAINNAILAIH RAJIUN
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...