Wafanyakazi wa Treni ya Kifahari ya Rovol Rail wakishusha mizigo mara baada ya treni hiyo kuwasili katika stesheni ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Jijini Dar es Salaam ikitokea Afrika ya Kusini ikiwa na Watalii Zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani  ikwemo Marekani na Uingereza ambao wataende kutalii katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.
Mtaalam wa masuala ya Kihitoria na Utamaduni wa Afrika kutoka Afrika Kusini , Nicholas Schofield akifurahia jambo baada ya kuwasili katika Stesheni ya Treni TAZARA Jijini Dar es Salaam akiwa na treni ya Kifahari  Rovol Rail( Pride of Africa) iliyowasili leo Januari 25, 2020 ikiwa na watalii Zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwemo Marekani na Uingereza ambao wataende kutalii katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.
Watalii wakishuka kwenye treni ya Kifahari  Rovol Rail( Pride of Africa) iliyowasili leo Januari 25, 2020 katika Stesheni ya Treni TAZARA Jijini Dar es Salaam ikiwa na watalii Zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwemo Marekani na Uingereza  ambao wataende kutalii katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.
Watalii wakienda kupanda usafiri wa kuwapeleka hotelini mara baada ya kushuka  kwenye treni ya Kifahari Rovol Rail( Pride of Africa) iliyowasili leo Januari 25, 2020 katika Stesheni ya Treni TAZARA Jijini Dar es Salaam ikiwa na watalii Zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwemo Marekani na Uingereza  ambao wataende kutalii katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.
Mwimbaji wa Bendi ya Polisi akicheza na mmoja wa  wafanyakazi wa treni ya kifahari ya Rovols (Pride of Afrika), mara baada ya kuwasili kwa treni hiyo Jijini Dar es Salaam ikitokea Afrika ya Kusini ikiwa na  watalii Zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani ikwemo Marekani na Uingereza ambao wataende kutalii katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.
Watalii wakicheza  na Bendi ya Polisi mara baada ya kuwasili kwa treni  ya kifahari ya Rovols (Pride of Africa), Jijini Dar es Salaam ikitokea Afrika ya Kusini ikiwa na  watalii Zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwemo Marekani na Uingereza ambao wataende kutalii katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo  Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.
Bendi ya Polisi ikitoa Burudani kwa Watalii Zaidi ya 6O (hawapo pichani)  waliowasili na Treni ya kifahari ya Rovols (Pride of Afrika), watalii hao watatembelea maeneo mbalimbali ya kitalii hapa nchini ikiwemo Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.
Watalii wakipiga picha waimbaji wa Bendi Polisi mara baada ya kuwasili kwa treni  ya kifahari ya Rovols (Pride of Africa), Jijini Dar es Salaam ikitokea Afrika ya Kusini ikiwa na  watalii Zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwemo Marekani na Uingereza ambao wataende kutalii katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo  Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.
 Treni ya Kifahari ya Rovols Rail (Pride of Africa) ikiwa imepaki katika Stesheni ya TAZARA Jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwashusha watalii Zaidi ya 60  kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwemo Marekani na Uingereza waliowasili na Treni hiyo ikitokea Afrika ya Kusini, watalii hao watatembelea katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo  Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.

Treni ya Kifahari  ya Rovol Rail ikiwasili katika stesheni ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) Jijini Dar es Salaam ikitokea Afrika ya Kusini  ikiwa na Watalii Zaidi ya 60 kutoka nchi mbalimbali duniani ikwemo Marekani na Uingireza ambao wataende kutalii katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.

Mtalii akipiga picha Bendi Polisi waliokuwa wakitoa burudani kwa watalii waliowasili na Treni ya Kifahari ya Rovols Rail (Pride of Africa), katika Stesheni ya TAZARA Jijini Dar es Salaam mara baada ya kuwashusha watalii Zaidi ya 60  kutoka nchi mbalimbali duniani ikiwemo Marekani na Uingereza waliowasili na Treni hiyo ikitokea Afrika ya Kusini, watalii hao watatembelea katika meneo mbalimbali hapa nchini ikiwemo Jiji la Dar es Salaam, Mji wa Zanzibar, Serengeti na Ngorongoro, hii ni safari ya kwanza kwa treni katika safari tano kwa mwaka 2020.
(Picha na Idara ya Habari-MAELEZO)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...