Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa,
akisalimiana na Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, wakati
akiondoka nchini, katika uwanja wa Julius Nyerere, kuelekea Msumbiji
kumwakilisha Rais John Pombe Magufuli, kwenye uapisho wa Rais wa
Msumbiji Filipe Nyusi. Januari 14, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, leo
Januari 14, 2020 ameondoka nchini kwenda Msumbiji, ambako atamwakilisha
Rais John Pombe Magufuli, kwenye uapisho wa Rais wa Msumbiji Filipe
Nyusi. Kulia ni Rais Mstaafu wa Awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, ambaye
pia yupo katika msafara huo. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...