Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji mkuu wa Serikali Dkt. Hassan
Abbasi akimueleza jambo Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Dkt. Harrison Mwakyembe, walipokutana leo Jijini Dodoma.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,
Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji mkuu wa Serikali Dkt. Hassan
Abbasi akiagana na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt.
Harrison Mwakyembe, walipokutana leo Jijini Dodoma.PICHA NA IDARA YA HABARI-MAELEZO
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...